Monday, August 29, 2011

YANGA YAKATAA KUVAA JEZI ZA WADHAMINI

Unafikiri kitendo cha yanga kukataa kuvaa jezi za wadhamini ni ulimbukeni wa viongozi wa soka la bongo ambao wanafanya soka letu linazidi kurudi nyuma kila kukicha?

No comments:

Post a Comment