Wakati waasi wanaompinga kanal Gaddaf wakiwa wanashikilia sehemu kubwa ya viunga vya jiji la Tripol. Imeelezwa kuwa mke wa gaddaf na wanawe watatu wamekimbia nchi hiyo ya Libya. Je! kwa kukimbia kwa familia ya gaddaf ni mwanzo na mwisho wa utawala wa kiongozi huyo wa libya ambaye amedumu madarakani kwa kipindi cha miaka 42?
No comments:
Post a Comment